Skip to content
Wafilipi 4:11-13

Wafilipi 4:11-13

11
Sisemi hivyo kwa vile nina mahitaji, la! Kwa maana nimejifunza kuridhika katika hali yoyote.
12
Ninajua kupungukiwa, pia ninajua kuwa na vingi. Nimejifunza siri ya kuridhika katika kila hali, wakati wa kushiba na wakati wa kuona njaa, wakati wa kuwa na vingi na wakati wa kupungukiwa.
13
Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options