Wafilipi 2:5-7
5
Kuweni na nia ile ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu:
6
Yeye, ingawa alikuwa na asili ya Mungu hasa, hakuona kule kuwa sawa na Mungu kuwa kitu cha kushikilia,
7
bali alijifanya si kitu, akachukua hali hasa na mtumwa, naye akazaliwa katika umbo la mwanadamu.