Skip to content
Filemoni 1:18-19

Filemoni 1:18-19

18
Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
19
Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options