تخطَّ إلى المحتوى
Filemoni 1:17-19

Filemoni 1:17-19

17
Hivyo kama unanihesabu mimi kuwa mshirika wako, mkaribishe kama vile ungenikaribisha mimi mwenyewe.
18
Kama amekukosea lolote au kama unamdai chochote, nidai mimi.
19
Ni mimi Paulo, ninayeandika waraka huu kwa mkono wangu mwenyewe. Nitakulipa. Sitaji kwamba nakudai hata nafsi yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options