Skip to content
Obadia 1:8-9

Obadia 1:8-9

8
“Katika siku hiyo,” asema Bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?
9
Ee Temani, mashujaa wako watatiwa hofu, kila mmoja katika milima ya Esau ataangushwa chini kwa kuchinjwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options