Skip to content
Obadia 1:7-8

Obadia 1:7-8

7
Wote ulioungana nao watakufukuza hadi mpakani, rafiki zako watakudanganya na kukushinda, wale wanaokula mkate wako watakutegea mtego, lakini hutaweza kuugundua.
8
“Katika siku hiyo,” asema Bwana, “je, sitaangamiza watu wenye hekima wa Edomu, watu wenye ufahamu katika milima ya Esau?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options