Hesabu 6:22-27
22
Bwana akamwambia Mose,
23
“Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni:
24
“ ‘ “Bwana akubariki na kukulinda;
25
Bwana akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili;
26
Bwana akugeuzie uso wake na kukupa amani.” ’
27
“Hivyo wataliweka Jina langu juu ya Waisraeli, nami nitawabariki.”
Settings