Skip to content
Hesabu 6:22-26

Hesabu 6:22-26

22
Bwana akamwambia Mose,
23
“Mwambie Aroni na wanawe, ‘Hivi ndivyo mtakavyowabariki Waisraeli. Waambieni:
24
“ ‘ “Bwana akubariki na kukulinda;
25
Bwana akuangazie nuru ya uso wake na kukufadhili;
26
Bwana akugeuzie uso wake na kukupa amani.” ’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options