Skip to content
Hesabu 33:47-48

Hesabu 33:47-48

47
Wakaondoka Almon-Diblathaimu na kupiga kambi katika milima ya Abarimu, karibu na Nebo.
48
Wakaondoka kwenye milima ya Abarimu na kupiga kambi kwenye tambarare ya Moabu, kando ya Yordani ngʼambo ya Yeriko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options