Skip to content
Hesabu 32:39-40

Hesabu 32:39-40

39
Wazao wa Makiri mwana wa Manase walikwenda Gileadi, wakaiteka nchi na kuwafukuza Waamori waliokuwa huko.
40
Kwa hiyo Mose akawapa Wamakiri, wazao wa Manase, nchi ya Gileadi, nao wakakaa huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options