Skip to content
Hesabu 31:1-3

Hesabu 31:1-3

1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Uwalipize kisasi Wamidiani kwa ajili ya Waisraeli. Halafu baada ya hayo, utakufa.”
3
Kwa hiyo Mose akawaambia watu, “Waandaeni baadhi ya wanaume wenu waende vitani kupigana na Wamidiani ili wawalipize kisasi cha Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options