Skip to content
Hesabu 26:12-13

Hesabu 26:12-13

12
Wazao wa Simeoni kwa koo zao walikuwa: kutoka kwa Nemueli, ukoo wa Wanemueli; kutoka kwa Yamini, ukoo wa Wayamini; kutoka wa Yakini, ukoo wa Wayakini;
13
kutoka kwa Zera, ukoo wa Wazera; kutoka kwa Shauli, ukoo wa Washauli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options