Skip to content
Hesabu 26:52-56

Hesabu 26:52-56

52
Bwana akamwambia Mose,
53
“Watagawiwa nchi kama urithi kwa kulingana na hesabu ya majina.
54
Kundi kubwa zaidi lipe urithi mkubwa zaidi, na kundi dogo zaidi lipewe urithi mdogo zaidi; kila kundi litapokea urithi wake kulingana na hesabu ya wale walioorodheshwa.
55
Hakikisha kuwa nchi inagawanywa kwa kura. Kile kitakachorithiwa na kila kikundi kitakuwa kwa kulingana na majina ya kabila la babu yao.
56
Kila urithi utagawanywa kwa kura miongoni mwa makundi makubwa na madogo.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options