Rukia maudhui
Hesabu 25:17-18

Amri ya Kuwashambulia Midiani

Hesabu 25:17-18
17
“Watendeeni Wamidiani kama adui na mwaue,
18
kwa sababu wao waliwatendea kama adui wakati waliwadanganya katika tukio la Peori na dada yao Kozbi, binti wa kiongozi wa Kimidiani, mwanamke ambaye aliuawa wakati tauni ilikuja kama matokeo ya tukio la Peori.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options