Rukia maudhui
Hesabu 17:10-11

Fimbo Yahifadhiwa Kuwa Onyo

Hesabu 17:10-11
10
Bwana akamwambia Mose, “Rudisha fimbo ya Aroni mbele ya Sanduku la Ushuhuda, ili ihifadhiwe kama alama kwa waasi. Hili litakomesha manungʼuniko yao dhidi yangu, ili kwamba wasife.”
11
Mose akafanya kama Bwana alivyomwamuru.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options