Skip to content
Hesabu 13:1-3

Hesabu 13:1-3

1
Bwana akamwambia Mose,
2
“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.”
3
Hivyo kwa agizo la Bwana Mose akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options