Skip to content
Hesabu 10:33-34

Hesabu 10:33-34

33
Hivyo waliondoka kutoka mlima wa Bwana, nao wakasafiri kwa siku tatu. Sanduku la Agano la Bwana liliwatangulia kwa zile siku tatu ili kuwatafutia mahali pa kupumzika.
34
Wingu la Bwana lilikuwa juu yao wakati wa mchana walipoondoka kambini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options