Skip to content
Nehemia 5:6-7

Nehemia 5:6-7

6
Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.
7
Nikayatafakari katika akili yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa. Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa kuwatoza riba!” Basi nikaitisha mkutano mkubwa ili kuwashughulikia
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options