Skip to content
Nehemia 5:6-7

Nehemia 5:6-7

6
Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.
7
Nikayatafakari katika akili yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa. Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa kuwatoza riba!” Basi nikaitisha mkutano mkubwa ili kuwashughulikia
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options