Nehemia 5:6-7
6
Niliposikia kilio chao na malalamiko haya, nilikasirika sana.
7
Nikayatafakari katika akili yangu, nikiwalaumu wakuu na maafisa. Nikawaambia, “Mnawaonea ndugu zenu kwa kuwatoza riba!” Basi nikaitisha mkutano mkubwa ili kuwashughulikia