Skip to content
Nehemia 12:12

Nehemia 12:12

Inaonyesha mstari 12 pamoja na muktadha unaouzunguka.
9
Bakbukia na Uni, wenzao, walisimama mkabala nao wakati wa ibada.
10
Yeshua alikuwa baba wa Yoyakimu, Yoyakimu alikuwa baba wa Eliashibu, Eliashibu alikuwa baba wa Yoyada,
11
Yoyada alikuwa baba wa Yonathani, na Yonathani alikuwa baba wa Yadua.
12
Katika siku za Yoyakimu, kulikuwa na wakuu wa jamaa za kikuhani: wa jamaa ya Seraya, Meraya; wa jamaa ya Yeremia, Hanania;
13
wa jamaa ya Ezra, Meshulamu; wa jamaa ya Amaria, Yehohanani;
14
wa jamaa ya Maluki, Yonathani; wa jamaa ya Shebania, Yosefu;
15
wa jamaa ya Harimu, Adna; wa jamaa ya Meremothi, Helkai;
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options