Skip to content
Nahumu 1:9-10

Nahumu 1:9-10

9
Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana yeye atalikomesha; taabu haitatokea mara ya pili.
10
Watasongwa katikati ya miiba na kulewa kwa mvinyo wao. Watateketezwa kama mabua makavu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options