Rukia maudhui
Mika 2:12-13

Ahadi ya Urejesho wa Baadaye

Mika 2:12-13
12
“Hakika nitawakusanya ninyi nyote, ee Yakobo, Hakika nitawaleta pamoja mabaki ya Israeli. Nitawaleta pamoja kama kondoo ndani ya zizi, kama kundi kwenye malisho yake, mahali hapa patakuwa na msongamano wa watu.
13
Yeye afunguaye njia atawatangulia; watapita kwenye lango na kutoka nje. Mfalme wao atawatangulia, Bwana atakuwa kiongozi.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options