Skip to content
Mathayo 5:39-40

Mathayo 5:39-40

39
Lakini mimi nawaambia, msishindane na mtu mwovu. Lakini kama mtu akikupiga kwenye shavu la kuume, mgeuzie na la pili pia.
40
Kama mtu akitaka kukushtaki na kuchukua joho lako, mwachie achukue na koti pia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options