Rukia maudhui
Mathayo 5:31-32

Kiwango Bora Zaidi: Talaka

Mathayo 5:31-32
31
“Pia ilinenwa kwamba, ‘Mtu yeyote amwachaye mkewe sharti ampe hati ya talaka.’
32
Lakini mimi nawaambia, yeyote amwachaye mkewe isipokuwa kwa kosa la uasherati, amfanya mkewe kuwa mzinzi. Na yeyote amwoaye yule mwanamke aliyeachwa, anazini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options