Skip to content
Mathayo 3:7-8

Mathayo 3:7-8

7
Lakini alipowaona Mafarisayo na Masadukayo wengi wakija ili kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi watoto wa nyoka! Ni nani aliyewaonya kuikimbia ghadhabu inayokuja?
8
Basi zaeni matunda yastahiliyo toba.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options