Skip to content
Mathayo 3:1-3

Mathayo 3:1-3

1
Siku hizo Yohana Mbatizaji alikuja akihubiri katika nyika ya Uyahudi, akisema,
2
“Tubuni, kwa maana Ufalme wa Mbinguni umekaribia.”
3
Huyu ndiye yule aliyenenwa habari zake na nabii Isaya aliposema: “Sauti ya mtu aliaye huko nyikani, ‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana, yanyoosheni mapito yake.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options