Skip to content
Mathayo 27:57-59

Mathayo 27:57-59

57
Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yosefu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58
Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Yesu. Pilato akaamuru apewe.
59
Yosefu akauchukua mwili wa Yesu, akaufunga katika kitambaa cha kitani safi,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options