Skip to content
Mathayo 27:57-58

Mathayo 27:57-58

57
Ilipofika jioni, alifika mtu mmoja tajiri kutoka Arimathaya aitwaye Yosefu, ambaye pia alikuwa mwanafunzi wa Yesu.
58
Akamwendea Pilato ili kumwomba mwili wa Yesu. Pilato akaamuru apewe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options