Mathayo 27:29-30
29
wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
30
Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.