Skip to content
Mathayo 27:27-30

Mathayo 27:27-30

27
Kisha askari wa mtawala wakampeleka Yesu kwenye Praitorio na wakakusanya kikosi kizima cha askari kumzunguka.
28
Wakamvua nguo zake na kumvika vazi la rangi nyekundu, kisha
29
wakasokota taji ya miiba, wakaiweka kichwani pake. Wakamwekea fimbo katika mkono wake wa kuume, na wakapiga magoti mbele zake na kumdhihaki, wakisema, “Salamu, mfalme wa Wayahudi!”
30
Wakamtemea mate, wakachukua ile fimbo wakampiga kichwani tena na tena.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options