Skip to content
Mathayo 27:20-21

Mathayo 27:20-21

20
Lakini viongozi wa makuhani na wazee wakaushawishi ule umati wa watu kwamba waombe Baraba afunguliwe, naye Yesu auawe.
21
Mtawala akawauliza tena, “Ni yupi kati ya hawa wawili mnayetaka niwafungulie?” Wakajibu, “Baraba.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options