Skip to content
Mathayo 26:8-9

Mathayo 26:8-9

8
Lakini wanafunzi wake walipoona hayo wakakasirika, wakasema, “Upotevu huu wote ni wa nini?
9
Manukato haya yangeuzwa kwa bei kubwa, na fedha hizo wakapewa maskini.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options