Skip to content
Mathayo 26:37-38

Mathayo 26:37-38

37
Akamchukua Petro pamoja na wale wana wawili wa Zebedayo, akaanza kuhuzunika na kufadhaika.
38
Kisha Yesu akawaambia, “Moyo wangu umejawa na huzuni kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mkeshe pamoja nami.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options