Skip to content
Mathayo 25:42-43

Mathayo 25:42-43

42
Kwa maana nilikuwa na njaa hamkunipa chakula, nilikuwa na kiu hamkuninywesha,
43
nilikuwa mgeni nanyi hamkunikaribisha, nilikuwa uchi hamkunivika, nilikuwa mgonjwa hamkunitunza, na nilikuwa gerezani nanyi hamkuja kunitembelea.’
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options