Skip to content
Mathayo 25:35-36

Mathayo 25:35-36

35
Kwa maana nilikuwa na njaa mkanipa chakula, nilikuwa na kiu mkaninywesha, nilikuwa mgeni mkanikaribisha,
36
nilikuwa uchi mkanivika, nilikuwa mgonjwa mkanitunza, nami nilikuwa kifungoni mkaja kunitembelea.’
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options