Skip to content
Mathayo 25:31-32

Mathayo 25:31-32

31
“Mwana wa Adamu atakapokuja katika utukufu wake na malaika wote watakatifu pamoja naye, ndipo atakapoketi juu ya kiti cha enzi cha utukufu wake.
32
Mataifa yote watakusanyika mbele zake, naye atawatenga kama mchungaji anavyotenga kondoo na mbuzi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options