Skip to content
Mathayo 24:50-51

Mathayo 24:50-51

50
Basi bwana wa mtumishi huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyoijua.
51
Atamkata vipande vipande na kumweka katika sehemu moja pamoja na wanafiki, mahali ambako kutakuwa ni kulia na kusaga meno.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options