Skip to content
Mathayo 24:16-18

Mathayo 24:16-18

16
basi wale walioko Uyahudi wakimbilie milimani.
17
Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke ili kuchukua chochote kutoka ndani ya nyumba.
18
Aliye shambani asirudi nyumbani kuchukua vazi lake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options