Mathayo 23:1-4
1
Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake:
2
“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Mose,
3
hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.
4
Wao hufunga mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata kuinua kidole ili kuisogeza.
Settings