Skip to content
Mathayo 23:1-4

Mathayo 23:1-4

1
Kisha Yesu akauambia umati wa watu pamoja na wanafunzi wake:
2
“Walimu wa sheria na Mafarisayo wameketi katika kiti cha Mose,
3
hivyo inawapasa kuwatii na kufanya kila kitu wanachowaambia. Lakini msifuate yale wanayotenda, kwa sababu hawatendi yale wanayohubiri.
4
Wao hufunga mizigo mikubwa na kuiweka mabegani mwa watu, lakini wao wenyewe hawako radhi hata kuinua kidole ili kuisogeza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options