Skip to content
Mathayo 22:29-30

Mathayo 22:29-30

29
Yesu akawajibu, “Mwapotoka kwa sababu hamjui Maandiko wala uweza wa Mungu.
30
Wakati wa ufufuo, watu hawataoa wala kuolewa, bali watakuwa kama malaika wa mbinguni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options