Skip to content
Mathayo 22:11-12

Mathayo 22:11-12

11
“Lakini mfalme alipoingia ndani ili kuwaona wageni, akamwona mle mtu mmoja ambaye hakuwa amevaa vazi la arusi.
12
Mfalme akamuuliza, ‘Rafiki, uliingiaje humu bila vazi la arusi?’ Yule mtu hakuwa na la kusema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options