Skip to content
Mathayo 21:45-46

Mathayo 21:45-46

45
Viongozi wa Makuhani na Mafarisayo waliposikia mifano ya Yesu, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
46
Wakatafuta njia ya kumkamata, lakini wakaogopa umati wa watu, kwa kuwa watu walimwona Yesu kuwa ni nabii.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options