Skip to content
Mathayo 21:21-22

Mathayo 21:21-22

21
Yesu akawajibu, “Amin, nawaambia, kama mkiwa na imani wala msiwe na shaka, si kwamba mtaweza kufanya tu yale yaliyofanyika kwa huu mtini, bali hata mkiuambia huu mlima, ‘Ngʼoka, ukatupwe baharini,’ litafanyika.
22
Yoyote mtakayoyaomba mkisali na mkiamini, mtayapokea.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options