Skip to content
Mathayo 21:2-3

Mathayo 21:2-3

2
akawaambia, “Nendeni katika kijiji kilichoko mbele yenu, nanyi mtamkuta punda amefungwa hapo, na mwana-punda pamoja naye. Wafungueni na mniletee.
3
Kama mtu yeyote akiwasemesha lolote, mwambieni kwamba Bwana ana haja nao, naye atawaruhusu mwalete mara.”
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options