Skip to content
Mathayo 2:19-20

Mathayo 2:19-20

19
Baada ya Herode kufa, malaika wa Bwana akamtokea Yosefu katika ndoto huko Misri
20
na kusema, “Ondoka, mchukue mtoto na mama yake mwende, mrudi katika nchi ya Israeli kwa sababu wale waliokuwa wanatafuta uhai wa mtoto wamekufa.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options