Skip to content
Mathayo 19:25-26

Mathayo 19:25-26

25
Wanafunzi wake waliposikia haya, walishangaa sana na kuuliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”
26
Lakini Yesu akawatazama, akawaambia, “Kwa mwanadamu jambo hili haliwezekani, lakini mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options