Rukia maudhui
Mathayo 19:1-2

Yesu Aingia Perea

Mathayo 19:1-2
1
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
2
Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options