Skip to content
Mathayo 18:21-22

Mathayo 18:21-22

21
Ndipo Petro akamjia Yesu na kumuuliza, “Bwana, ndugu yangu anikosee mara ngapi nami nimsamehe? Je, hata mara saba?”
22
Yesu akamjibu, “Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options