Skip to content
Mathayo 19:1-2

Mathayo 19:1-2

1
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
2
Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options