Skip to content
Mathayo 19:1-2

Yesu Aingia Perea

Mathayo 19:1-2
1
Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya, akaenda sehemu za Uyahudi, ngʼambo ya Mto Yordani.
2
Umati mkubwa wa watu ukamfuata, naye akawaponya huko.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options