ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Mathayo 18:1-4

Mathayo 18:1-4

1
Wakati huo, wanafunzi wakamjia Yesu na kumuuliza, “Je, nani aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni?”
2
Yesu akamwita mtoto mdogo na kumsimamisha katikati yao.
3
Naye akasema: “Amin, nawaambia, msipookoka na kuwa kama watoto wadogo, kamwe hamtaingia katika Ufalme wa Mbinguni.
4
Kwa hiyo mtu yeyote anyenyekeaye kama huyu mtoto, ndiye aliye mkuu kuliko wote katika Ufalme wa Mbinguni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options