Skip to content
Mathayo 17:5-6

Mathayo 17:5-6

5
Petro alipokuwa angali ananena, ghafula wingu lililongʼaa likawafunika, na sauti ikatoka kwenye hilo wingu ikisema, “Huyu ni Mwanangu mpendwa. Ninapendezwa naye sana. Msikieni yeye.”
6
Wanafunzi waliposikia haya, wakaanguka chini kifudifudi, wakajawa na hofu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options